Nimeota popo alikuwa anaruka sehemu ambayo nilikuwa naenda kujisaidia na akawa kero kwangu sikuweza ht kujisaidia nikamkamata akaning’ata mkono wa kulia na kunichuna ngozi kidogo nikamkamata nikamkatakata vipande kwa hasira na kumuua hii inamaanisha nini?